Hizi ni picha za kwenye shughuli mbalimbali kama harusi, send off, kipaimara, na aina nyingi za sherehe. Utapata huduma ya picha kwa Tsh 1,000 kila picha. Idadi ya picha ianzie picha 50 na kuendelea. Na kama ni nje ya mkoa wa Dar es salaam, idadi ya picha iwe ni picha 150 na kuendelea.