Click here here to view our website
image

NHIF Mtwara

Je, unahitaji bima ya afya kwa ajili yako, wazazi wako, mwenzi wako (mume au mke), watoto au hata kwa ajili ya watoto mayatima/ ndugu/jamaa ?

Kupitia NHIF, unaweza kupata huduma bora za matibabu kwa gharama nafuu na uhakika wa afya bora.

πŸ“ž Wasiliana watumishi wafuatao kutoka NHIF kwa maelezo zaidi:
1. Bi. Jamila Ally : 0716730190
2. Bi. Devotha Meena : 0717647067
3. Mohamed Jabu : 0774405336
4. Dr.Edwin Chitage 0717233551

Usisubiri hadi matatizo ya kiafya yatokee – linda afya yako na za wapendwa wako mapema kabla ya kuugua!