Stadi za maisha kwa vijana Balehe (miaka 13-18)

Stadi za maisha kwa vijana Balehe (miaka 13-18)

TSh 7,500.00

Tafiti zinasema Kati ya vijana 10 wenye umri kati ya miaka 13-18 ni vijana wawili tu ndio wana ujuzi wa stadi za maisha ambazo ni utatuzi wa matatizo, kufanya maamuzi, kuyamudu maisha binafsi na nyingine ambazo zimeelezewa kwenye kitabu hiki