Mwajiri Bomba Flagship Package

Mwajiri Bomba Flagship Package

Bima ya Afya na Maisha kwa Mfanyakazi mmoja na Wategemezi wake mpaka watatu. Jumla watu wanne

Inatoka Kadi za bima ya Afya na Mkono wa Pole wa Sh milioni 1 kwa kila msiba wa Mfanyakazi, Mwenza wake mmoja, watoto mpaka wanne, wazazi wawili na wakwe wawili.


Faida za Matibabu wanazoweza kupata:
- Matibabu ya Kulazwa mpaka milioni 3
- Matibabu ya Kutwa mpaka 450,000
- Hospitali 450 kila mkoa Tanzania Bara na Visiwani.

Faida kwa kila familia na idadi ya watu:

1. Mwanachama Pekee (Kutwa 300,000 na Kulazwa 2milion)

2. Mwanachama+ Mtegemezi 1 (Kutwa 350,000 na Kulazwa 2.5 milion)

3. Mwanachama+ Wategemezi 2 (Kutwa 400,000 na Kulazwa 2.75 milion)

4. Mwanachama+ Wategemezi 3 (Kutwa 450,000 na Kulazwa 3 milion)



TSh 230,000.00

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Aina ya Kitambulisho Cha Mwanachama

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional

Optional