WHATSAPP ( BOFYA HAPA )
image
SUPER GRO  1L

SUPER GRO 1L

TSh 60,000.00

TSh 65,000.00

Mbolea bora kwa kilimo chako.
Inatumika kwa shamba mpaka hekari 2.

Unachanganya na maji kwa kiwango cha
Cc/ml 1 ya super gro kwa 1Lita ya maji.
Unapulizia kila baada ya wiki 2 kwenye kipindi cha masika na kila baada ya wiki 1 kipindi cha kiangazi.

Muda mzuri wa kupurizia ni Asubuh mapema sana kabla ya Jua au Jioni baada ya jua kuzama.