Checkout is disabled during off hours
image
SUPER GRO  1L

SUPER GRO 1L

TSh 60,000.00

TSh 65,000.00

Mbolea bora kwa kilimo chako.
Inatumika kwa shamba mpaka hekari 2.

Unachanganya na maji kwa kiwango cha
Cc/ml 1 ya super gro kwa 1Lita ya maji.
Unapulizia kila baada ya wiki 2 kwenye kipindi cha masika na kila baada ya wiki 1 kipindi cha kiangazi.

Muda mzuri wa kupurizia ni Asubuh mapema sana kabla ya Jua au Jioni baada ya jua kuzama.